Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 39:22-26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kisha akafuma joho lisilo na mikono la efodi kwa nyuzi za bluu peke yake.+ 23 Lilikuwa na nafasi ya kupitishia kichwa katikati sehemu ya juu. Sehemu hiyo ilikuwa na ukingo kuizunguka kama wa koti la vita, ili isiraruke. 24 Halafu wakatengeneza kwenye upindo wa joho hilo makomamanga ya nyuzi za bluu, sufu ya zambarau, na kitambaa cha rangi nyekundu; vitu vyote hivyo vilisokotwa pamoja. 25 Walitengeneza kengele za dhahabu safi na kuzitia kati ya makomamanga kwenye upindo wote wa joho hilo lisilo na mikono; 26 walitia kengele kisha komamanga, kengele kisha komamanga kwenye upindo wote wa joho hilo lisilo na mikono lililotumiwa kuhudumu, kama Yehova alivyomwamuru Musa.

  • Mambo ya Walawi 8:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha akamvisha kanzu,+ akamfunga ukumbuu,+ akamvisha lile joho lisilo na mikono,+ akamvisha efodi+ na kumfunga vizuri kabisa mshipi wa efodi uliofumwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki