Isaya 50:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amenipa ulimi wa waliofundishwa,*+Ili nijue jinsi ya kumjibu* aliyechoka kwa neno linalofaa.*+ Yeye huniamsha asubuhi baada ya asubuhi;Huliamsha sikio langu ili lisikilize kama wale waliofundishwa.+ Marko 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na watakapokuwa wakiwapeleka kuwashtaki, msihangaike kuhusu jambo mtakalosema; bali semeni jambo mtakalopewa saa hiyo, kwa maana si ninyi mnaosema, bali ni roho takatifu.+
4 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amenipa ulimi wa waliofundishwa,*+Ili nijue jinsi ya kumjibu* aliyechoka kwa neno linalofaa.*+ Yeye huniamsha asubuhi baada ya asubuhi;Huliamsha sikio langu ili lisikilize kama wale waliofundishwa.+
11 Na watakapokuwa wakiwapeleka kuwashtaki, msihangaike kuhusu jambo mtakalosema; bali semeni jambo mtakalopewa saa hiyo, kwa maana si ninyi mnaosema, bali ni roho takatifu.+