30 Kisha akaweka beseni kati ya hema la mkutano na madhabahu na kutia maji ndani yake ili makuhani wanawe+ mikono na miguu yao. 31 Musa na pia Haruni na wanawe walitumia maji ya beseni hilo kunawa mikono na miguu yao.
22 acheni tukaribie tukiwa na mioyo minyoofu na imani kamili, mioyo yetu ikiwa imenyunyizwa na kuwa safi kutokana na dhamiri yenye uovu+ na miili yetu ikiwa imeoshwa kwa maji safi.+