9 Kisha uchukue mafuta yanayotumiwa kutia mafuta+ na kulitia mafuta hema la ibada na vitu vyote vilivyomo,+ nawe ulitakase pamoja na vyombo vyake vyote, ili liwe takatifu.
7Siku ambayo Musa alimaliza kutengeneza hema la ibada,+ alilitia mafuta+ na kulitakasa pamoja na vyombo vyake vyote, na madhabahu na vyombo vyake vyote.+ Baada ya kuvitia mafuta na kuvitakasa vitu hivyo,+