Mambo ya Walawi 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “‘Kila toleo la nafaka mnalotoa linapaswa kukolezwa kwa chumvi; na msiruhusu kamwe chumvi ya agano la Mungu wenu ikosekane katika toleo lenu la nafaka. Kila toleo mtakalotoa, mtalitoa pamoja na chumvi.+
13 “‘Kila toleo la nafaka mnalotoa linapaswa kukolezwa kwa chumvi; na msiruhusu kamwe chumvi ya agano la Mungu wenu ikosekane katika toleo lenu la nafaka. Kila toleo mtakalotoa, mtalitoa pamoja na chumvi.+