Kutoka 35:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mtafanya kazi kwa siku sita, lakini siku ya saba itakuwa takatifu kwenu, ni sabato ya pumziko kamili kwa Yehova.+ Mtu yeyote atakayefanya kazi siku hiyo atauawa.+ Hesabu 15:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Waisraeli walipokuwa nyikani, walimkuta mtu fulani akiokota kuni siku ya Sabato.+ Hesabu 15:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Basi Yehova akamwambia Musa: “Ni lazima mtu huyo auawe,+ Waisraeli wote watampiga mawe nje ya kambi.”+
2 Mtafanya kazi kwa siku sita, lakini siku ya saba itakuwa takatifu kwenu, ni sabato ya pumziko kamili kwa Yehova.+ Mtu yeyote atakayefanya kazi siku hiyo atauawa.+
35 Basi Yehova akamwambia Musa: “Ni lazima mtu huyo auawe,+ Waisraeli wote watampiga mawe nje ya kambi.”+