-
Kutoka 31:14, 15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Ni lazima mshike Sabato kwa sababu ni takatifu kwenu.+ Mtu yeyote atakayeitia unajisi ni lazima auawe. Mtu yeyote atakayefanya kazi siku hiyo, ni lazima auawe kutoka kati ya watu wake.+ 15 Mnaweza kufanya kazi kwa siku sita, lakini siku ya saba ni sabato ya pumziko kamili.+ Ni takatifu kwa Yehova. Mtu yeyote atakayefanya kazi siku ya Sabato ni lazima auawe.
-