Kutoka 16:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Musa akawaambia: “Hivyo ndivyo alivyosema Yehova. Kesho kutakuwa na pumziko kamili,* sabato takatifu kwa Yehova.+ Okeni mnachohitaji kuoka, na chemsheni mnachohitaji kuchemsha;+ kisha chochote kitakachobaki mkihifadhi mpaka asubuhi.” Kutoka 20:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 lakini siku ya saba ni sabato kwa Yehova Mungu wako. Usifanye kazi yoyote, wewe wala mwana wako wala binti yako wala mtumwa wako wala kijakazi wako wala mnyama wako wa kufugwa wala mgeni aliye katika makazi* yako.+
23 Musa akawaambia: “Hivyo ndivyo alivyosema Yehova. Kesho kutakuwa na pumziko kamili,* sabato takatifu kwa Yehova.+ Okeni mnachohitaji kuoka, na chemsheni mnachohitaji kuchemsha;+ kisha chochote kitakachobaki mkihifadhi mpaka asubuhi.”
10 lakini siku ya saba ni sabato kwa Yehova Mungu wako. Usifanye kazi yoyote, wewe wala mwana wako wala binti yako wala mtumwa wako wala kijakazi wako wala mnyama wako wa kufugwa wala mgeni aliye katika makazi* yako.+