Mathayo 12:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Lakini ikiwa ninawafukuza roho waovu kupitia roho ya Mungu, kwa kweli Ufalme wa Mungu umewafikia ninyi ghafla.+ Luka 11:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini ikiwa ninawafukuza roho waovu kupitia kidole cha Mungu,+ kwa kweli Ufalme wa Mungu umewafikia ninyi ghafla.+ 2 Wakorintho 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana ni wazi kwamba ninyi ni barua ya Kristo ambayo tuliandika tukiwa wahudumu,+ iliyoandikwa si kwa wino bali kwa roho ya Mungu aliye hai, si juu ya mabamba ya mawe,+ bali juu ya mabamba ya nyama, juu ya mioyo.+
28 Lakini ikiwa ninawafukuza roho waovu kupitia roho ya Mungu, kwa kweli Ufalme wa Mungu umewafikia ninyi ghafla.+
20 Lakini ikiwa ninawafukuza roho waovu kupitia kidole cha Mungu,+ kwa kweli Ufalme wa Mungu umewafikia ninyi ghafla.+
3 Kwa maana ni wazi kwamba ninyi ni barua ya Kristo ambayo tuliandika tukiwa wahudumu,+ iliyoandikwa si kwa wino bali kwa roho ya Mungu aliye hai, si juu ya mabamba ya mawe,+ bali juu ya mabamba ya nyama, juu ya mioyo.+