Kutoka 32:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Nimeona kwamba watu hawa ni wakaidi.*+ Kutoka 33:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Pandeni mpaka kwenye nchi inayotiririka maziwa na asali.+ Lakini sitaenda pamoja nanyi, kwa sababu ninyi ni watu wakaidi, *+ na huenda nikawaangamiza kabisa njiani.”+
3 Pandeni mpaka kwenye nchi inayotiririka maziwa na asali.+ Lakini sitaenda pamoja nanyi, kwa sababu ninyi ni watu wakaidi, *+ na huenda nikawaangamiza kabisa njiani.”+