Kutoka 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hampaswi kuhifadhi sehemu yoyote ya nyama hiyo mpaka asubuhi, lakini sehemu yoyote itakayobaki mpaka asubuhi mnapaswa kuiteketeza kwa moto.+ Hesabu 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hawapaswi kuacha chochote mpaka asubuhi,+ wala hawapaswi kuvunja mfupa wowote wa dhabihu hiyo.+ Wanapaswa kuitayarisha kulingana na sheria zote za Pasaka.
10 Hampaswi kuhifadhi sehemu yoyote ya nyama hiyo mpaka asubuhi, lakini sehemu yoyote itakayobaki mpaka asubuhi mnapaswa kuiteketeza kwa moto.+
12 Hawapaswi kuacha chochote mpaka asubuhi,+ wala hawapaswi kuvunja mfupa wowote wa dhabihu hiyo.+ Wanapaswa kuitayarisha kulingana na sheria zote za Pasaka.