15 Nyama za dhabihu za ushirika zinazotolewa ili kuonyesha shukrani zinapaswa kuliwa siku ambayo dhabihu hiyo ya shukrani inatolewa. Nyama yoyote ya dhabihu hiyo haipaswi kuachwa mpaka asubuhi.+
29 “Mkimtolea Yehova dhabihu ya shukrani,+ mnapaswa kuitoa dhabihu hiyo ili mpate kibali chake. 30 Inapaswa kuliwa siku hiyohiyo. Hampaswi kuacha sehemu yoyote mpaka asubuhi.+ Mimi ni Yehova.
4 Msipatikane na unga wowote uliokandwa wenye chachu katika nchi yenu yote kwa siku saba,+ wala nyama yoyote mtakayotoa dhabihu siku ya kwanza jioni haipaswi kubaki usiku kucha mpaka asubuhi.+