Kutoka 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hampaswi kuhifadhi sehemu yoyote ya nyama hiyo mpaka asubuhi, lakini sehemu yoyote itakayobaki mpaka asubuhi mnapaswa kuiteketeza kwa moto.+ Kutoka 34:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Hampaswi kutoa damu ya dhabihu yangu pamoja na kitu chochote kilichotiwa chachu.+ Dhabihu ya sherehe ya Pasaka haipaswi kuhifadhiwa usiku kucha mpaka asubuhi.+
10 Hampaswi kuhifadhi sehemu yoyote ya nyama hiyo mpaka asubuhi, lakini sehemu yoyote itakayobaki mpaka asubuhi mnapaswa kuiteketeza kwa moto.+
25 “Hampaswi kutoa damu ya dhabihu yangu pamoja na kitu chochote kilichotiwa chachu.+ Dhabihu ya sherehe ya Pasaka haipaswi kuhifadhiwa usiku kucha mpaka asubuhi.+