-
Mambo ya Walawi 3:14-16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Atamtolea Yehova mafuta yanayofunika matumbo, naam, mafuta yote yaliyo juu ya matumbo kuwa dhabihu inayochomwa kwa moto,+ 15 pamoja na figo zake mbili na mafuta yake yaliyo karibu na kiuno. Ataondoa pia figo pamoja na mafuta yaliyo juu ya ini. 16 Kuhani ataviteketeza vitu hivyo kwenye madhabahu kama chakula* ili vifuke moshi, ni dhabihu inayochomwa kwa moto yenye harufu inayopendeza.* Mafuta yote ni ya Yehova.+
-