Mambo ya Walawi 19:5, 6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “‘Mnaponitolea mimi Yehova dhabihu ya ushirika,+ mnapaswa kuitoa kwa njia itakayofanya mpate kibali.+ 6 Inapaswa kuliwa siku inayotolewa na siku inayofuata, lakini siku ya tatu, dhabihu inayobaki inapaswa kuteketezwa.+
5 “‘Mnaponitolea mimi Yehova dhabihu ya ushirika,+ mnapaswa kuitoa kwa njia itakayofanya mpate kibali.+ 6 Inapaswa kuliwa siku inayotolewa na siku inayofuata, lakini siku ya tatu, dhabihu inayobaki inapaswa kuteketezwa.+