17 Lakini nyama yoyote inayobaki ya dhabihu hiyo inapaswa kuteketezwa siku ya tatu.+ 18 Hata hivyo, nyama yoyote ya dhabihu ya ushirika ikiliwa siku ya tatu, yule anayeitoa hatapata kibali. Haitamnufaisha; ni dhabihu inayochukiza, na mtu anayeila ataadhibiwa kwa sababu ya kosa lake.+