Mambo ya Walawi 19:7, 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hata hivyo, ikiwa dhabihu yoyote inayobaki italiwa siku ya tatu, ni chukizo na haitakubaliwa. 8 Mtu anayeila ataadhibiwa kwa sababu ya kosa lake kwa maana amechafua kitu kitakatifu cha Yehova, naye lazima auawe.
7 Hata hivyo, ikiwa dhabihu yoyote inayobaki italiwa siku ya tatu, ni chukizo na haitakubaliwa. 8 Mtu anayeila ataadhibiwa kwa sababu ya kosa lake kwa maana amechafua kitu kitakatifu cha Yehova, naye lazima auawe.