Mambo ya Walawi 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naye atakayekila atajibu kwa kosa lake,+ kwa sababu amekitia unajisi kitu kitakatifu cha Yehova; nayo nafsi hiyo itakatiliwa mbali kutoka kwa watu wake.
8 Naye atakayekila atajibu kwa kosa lake,+ kwa sababu amekitia unajisi kitu kitakatifu cha Yehova; nayo nafsi hiyo itakatiliwa mbali kutoka kwa watu wake.