Mambo ya Walawi 8:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kisha Musa akachukua kidari na kukitikisa kwenda mbele na nyuma kikiwa toleo la kutikiswa mbele za Yehova.+ Sehemu hiyo ya kondoo wa kuwaweka rasmi makuhani ilikuwa fungu la Musa, kama Yehova alivyomwamuru Musa.+
29 Kisha Musa akachukua kidari na kukitikisa kwenda mbele na nyuma kikiwa toleo la kutikiswa mbele za Yehova.+ Sehemu hiyo ya kondoo wa kuwaweka rasmi makuhani ilikuwa fungu la Musa, kama Yehova alivyomwamuru Musa.+