-
Mambo ya Walawi 7:29, 30Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
29 “Waambie Waisraeli, ‘Mtu yeyote anayemletea Yehova dhabihu yake ya ushirika atamtolea Yehova sehemu ya dhabihu hiyo.+ 30 Ataleta mafuta+ pamoja na kidari kwa mikono yake mwenyewe ili vitu hivyo viwe dhabihu kwa Yehova inayochomwa kwa moto, naye atavitikisa kwenda mbele na nyuma vikiwa toleo la kutikiswa+ mbele za Yehova.
-