26 “Utayatumia kutia mafuta hema la mkutano+ na sanduku la Ushahidi, 27 pamoja na meza na vyombo vyake vyote, kinara cha taa na vyombo vyake, madhabahu ya uvumba, 28 madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa na vyombo vyake vyote, na lile beseni pamoja na kinara chake.