Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Pia, kuhani atatia kiasi fulani cha damu hiyo kwenye pembe za madhabahu ya uvumba uliotiwa manukato,+ mbele za Yehova katika hema la mkutano; naye atamwaga damu yote iliyobaki ya huyo ng’ombe dume kwenye msingi wa madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa,+ kwenye mlango wa hema la mkutano.

  • Mambo ya Walawi 8:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kisha akamleta ng’ombe dume wa dhabihu ya dhambi, Haruni na wanawe wakaweka mikono yao juu ya kichwa cha ng’ombe dume huyo wa dhabihu ya dhambi.+ 15 Musa akamchinja, akachukua damu yake+ kwa kidole chake na kuzipaka pembe zote za madhabahu, akaitakasa madhabahu kutokana na dhambi, lakini damu iliyobaki aliimwaga kwenye msingi wa madhabahu, ili aitakase na kutoa juu yake dhabihu ya kufunika dhambi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki