Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 18:38, 39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Ndipo moto wa Yehova ukashuka kutoka juu, ukaiteketeza hiyo dhabihu ya kuteketezwa,+ kuni, mawe, na mavumbi, nao ukayaramba maji yaliyokuwa mtaroni.+ 39 Watu wote walipoona jambo hilo, mara moja wakaanguka chini kifudifudi na kusema: “Yehova ndiye Mungu wa kweli! Yehova ndiye Mungu wa kweli!”

  • 2 Mambo ya Nyakati 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi, mara tu Sulemani alipomaliza kusali,+ moto ulishuka kutoka mbinguni+ ukateketeza ile dhabihu ya kuteketezwa na dhabihu nyinginezo, na utukufu wa Yehova ukajaa katika nyumba hiyo.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Waisraeli wote walikuwa wakitazama moto uliposhuka na utukufu wa Yehova ulipokuwa juu ya nyumba hiyo, nao wakainama kifudifudi kwenye sakafu ya mawe, wakasujudu na kumshukuru Yehova, “kwa maana yeye ni mwema; upendo wake mshikamanifu unadumu milele.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki