Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 9:23, 24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mwishowe Musa na Haruni wakaingia katika hema la mkutano, kisha wakatoka nje na kuwabariki watu.+

      Ndipo watu wote wakauona utukufu wa Yehova,+ 24 na moto ukashuka kutoka kwa Yehova+ na kuanza kuteketeza ile dhabihu ya kuteketezwa na vile vipande vyenye mafuta vilivyokuwa kwenye madhabahu. Watu wote walipoona hilo, wakaanza kupaza sauti na kuanguka kifudifudi.+

  • Waamuzi 6:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo malaika wa Yehova akanyoosha fimbo iliyokuwa mkononi mwake na kwa ncha yake akaigusa ile nyama na ile mikate isiyo na chachu, na moto ukatoka kwenye lile jiwe na kuiteketeza ile nyama na ile mikate isiyo na chachu.+ Kisha malaika wa Yehova akatoweka.

  • 2 Mambo ya Nyakati 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi, mara tu Sulemani alipomaliza kusali,+ moto ulishuka kutoka mbinguni+ ukateketeza ile dhabihu ya kuteketezwa na dhabihu nyinginezo, na utukufu wa Yehova ukajaa katika nyumba hiyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki