-
Mambo ya Walawi 9:23, 24Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
23 Mwishowe Musa na Haruni wakaingia katika hema la mkutano, kisha wakatoka nje na kuwabariki watu.+
Ndipo watu wote wakauona utukufu wa Yehova,+ 24 na moto ukashuka kutoka kwa Yehova+ na kuanza kuteketeza ile dhabihu ya kuteketezwa na vile vipande vyenye mafuta vilivyokuwa kwenye madhabahu. Watu wote walipoona hilo, wakaanza kupaza sauti na kuanguka kifudifudi.+
-