Mambo ya Walawi 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “‘Hii ndiyo sheria kuhusu toleo la nafaka:+ Ninyi wana wa Haruni mtamtolea Yehova toleo hilo mbele ya madhabahu. Mambo ya Walawi 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Haipaswi kuokwa pamoja na kitu chochote chenye chachu.+ Nimewapa liwe fungu lao kutoka katika matoleo yangu yanayochomwa kwa moto.+ Ni toleo takatifu kabisa,+ kama ilivyo dhabihu ya dhambi na dhabihu ya hatia.
14 “‘Hii ndiyo sheria kuhusu toleo la nafaka:+ Ninyi wana wa Haruni mtamtolea Yehova toleo hilo mbele ya madhabahu.
17 Haipaswi kuokwa pamoja na kitu chochote chenye chachu.+ Nimewapa liwe fungu lao kutoka katika matoleo yangu yanayochomwa kwa moto.+ Ni toleo takatifu kabisa,+ kama ilivyo dhabihu ya dhambi na dhabihu ya hatia.