Mambo ya Walawi 21:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “‘Kuhani mkuu miongoni mwa ndugu zake, aliyetiwa mafuta kichwani+ na kuwekwa rasmi ili avae mavazi ya kuhani,+ anapaswa kutunza nywele zake na hapaswi kurarua mavazi yake.+
10 “‘Kuhani mkuu miongoni mwa ndugu zake, aliyetiwa mafuta kichwani+ na kuwekwa rasmi ili avae mavazi ya kuhani,+ anapaswa kutunza nywele zake na hapaswi kurarua mavazi yake.+