Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Unapaswa kuleta katika nyumba yangu mimi, Yehova Mungu wako, mazao bora ya kwanza yaliyokomaa* ya ardhi yako.+

      “Usimchemshe mwanambuzi katika maziwa ya mama yake.+

  • Hesabu 15:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mtatoa mchango wa mazao ya kwanza+ ya mikate ya mviringo iliyookwa kwa unga wenu ambao haujakobolewa. Mtautoa kama mchango unaotoka katika uwanja wa kupuria nafaka.

  • 2 Mambo ya Nyakati 31:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mara tu agizo hilo lilipotolewa, Waisraeli walitoa kwa wingi mazao ya kwanza ya nafaka, divai mpya, mafuta,+ na asali, na mazao yote ya shambani;+ walileta kwa wingi sehemu ya kumi ya kila kitu.+

  • Methali 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mheshimu Yehova kwa vitu vyako vyenye thamani,+

      Kwa mavuno ya kwanza ya* mazao* yako yote;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki