4 Hawa ndio wanyama mnaoweza kula:+ ng’ombe, kondoo, mbuzi, 5 paa, swala, kulungu, mbuzi mwitu, mbawala, kondoo mwitu, na kondoo wa mlimani. 6 Mnaweza kumla mnyama yeyote mwenye kwato zilizopasuka na zilizogawanyika mara mbili na ambaye anacheua.
14 Ndipo nikasema: “Isiwe hivyo, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Tangu ujana wangu mpaka sasa sijatiwa* unajisi kwa kula nyama ya mnyama ambaye amepatikana amekufa wala mnyama aliyeraruliwa,+ na nyama isiyo safi* haijawahi kuingia kinywani mwangu.”+