25 Ni lazima mtofautishe mnyama aliye safi na asiye safi na ndege aliye safi na asiye safi;+ msinifanye niwachukie kwa kula mnyama au ndege au kiumbe yeyote anayetambaa niliyewaambia kwamba si safi.+
23 “‘Wanapaswa kuwafundisha watu wangu tofauti kati ya kitu kitakatifu na kitu cha kawaida; nao watawafundisha tofauti kati ya kitu kisicho safi na kitu kilicho safi.+