Mambo ya Walawi 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “‘Hata hivyo, ikiwa hawezi kutoa kondoo, atamletea Yehova njiwa tetere wawili au hua wawili wachanga+ wawe dhabihu ya hatia kwa ajili ya dhambi yake, ndege mmoja kwa ajili ya dhabihu ya dhambi, na mwingine kwa ajili ya dhabihu ya kuteketezwa.+
7 “‘Hata hivyo, ikiwa hawezi kutoa kondoo, atamletea Yehova njiwa tetere wawili au hua wawili wachanga+ wawe dhabihu ya hatia kwa ajili ya dhambi yake, ndege mmoja kwa ajili ya dhabihu ya dhambi, na mwingine kwa ajili ya dhabihu ya kuteketezwa.+