Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Halafu chukua mafuta ya huyo kondoo dume, mkia wake mnono, mafuta yanayofunika matumbo, mafuta yaliyo juu ya ini, figo zake mbili na mafuta yaliyo juu yake,+ na mguu wa kulia, kwa maana huyo ni kondoo dume wa kumweka rasmi kuhani.+

  • Mambo ya Walawi 9:18-20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Baada ya hayo Haruni akamchinja yule ng’ombe dume na kondoo dume wa dhabihu ya ushirika aliyepaswa kutolewa kwa ajili ya watu. Kisha wanawe wakampa damu, akainyunyiza pande zote za madhabahu.+ 19 Lakini vipande vyenye mafuta vya ng’ombe dume,+ mkia wenye mafuta wa kondoo dume, mafuta yaliyofunika matumbo, na figo, na mafuta yaliyokuwa juu ya ini,+ 20 waliviweka vipande hivyo vyote vyenye mafuta juu ya vidari, kisha akaviteketeza vipande hivyo ili vifuke moshi kwenye madhabahu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha Sulemani akatakasa sehemu ya katikati ya ua uliokuwa mbele ya nyumba ya Yehova, kwa maana alipaswa kutolea mahali hapo dhabihu za kuteketezwa+ na vipande vya mafuta vya dhabihu za ushirika, kwa sababu madhabahu ya shaba+ ambayo Sulemani alikuwa amejenga haingeweza kutoshea dhabihu za kuteketezwa, matoleo ya nafaka,+ na vipande vya mafuta.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki