- 
	                        
            
            Mambo ya Walawi 9:18-20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
18 Baada ya hayo Haruni akamchinja yule ng’ombe dume na kondoo dume wa dhabihu ya ushirika aliyepaswa kutolewa kwa ajili ya watu. Kisha wanawe wakampa damu, akainyunyiza pande zote za madhabahu.+ 19 Lakini vipande vyenye mafuta vya ng’ombe dume,+ mkia wenye mafuta wa kondoo dume, mafuta yaliyofunika matumbo, na figo, na mafuta yaliyokuwa juu ya ini,+ 20 waliviweka vipande hivyo vyote vyenye mafuta juu ya vidari, kisha akaviteketeza vipande hivyo ili vifuke moshi kwenye madhabahu.+
 
 - 
                                        
 
- 
	                        
            
            2 Mambo ya Nyakati 7:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
7 Kisha Sulemani akatakasa sehemu ya katikati ya ua uliokuwa mbele ya nyumba ya Yehova, kwa maana alipaswa kutolea mahali hapo dhabihu za kuteketezwa+ na vipande vya mafuta vya dhabihu za ushirika, kwa sababu madhabahu ya shaba+ ambayo Sulemani alikuwa amejenga haingeweza kutoshea dhabihu za kuteketezwa, matoleo ya nafaka,+ na vipande vya mafuta.+
 
 -