Mambo ya Walawi 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Baada ya hayo akamchinja yule ng’ombe-dume na yule kondoo-dume wa dhabihu ya ushirika+ aliyekuwa kwa ajili ya watu. Halafu wana wa Haruni wakampa damu naye akainyunyiza juu ya madhabahu kuizunguka.+
18 Baada ya hayo akamchinja yule ng’ombe-dume na yule kondoo-dume wa dhabihu ya ushirika+ aliyekuwa kwa ajili ya watu. Halafu wana wa Haruni wakampa damu naye akainyunyiza juu ya madhabahu kuizunguka.+