Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 22:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mzao yeyote wa Haruni mwenye ukoma+ au anayetokwa na umajimaji+ asile vitu vitakatifu mpaka atakapokuwa safi,+ wala mtu anayemgusa mtu yeyote aliyejichafua kwa kugusa mtu aliyekufa,*+ wala mtu anayetokwa na shahawa,+

  • Kumbukumbu la Torati 23:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ikiwa mwanamume ni mchafu kwa sababu ametokwa na shahawa usiku,+ anapaswa kwenda nje ya kambi, asirudi kambini. 11 Ifikapo jioni, anapaswa kuoga kwa maji, kisha anaweza kurudi kambini jua linapotua.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki