4 Mzao yeyote wa Haruni mwenye ukoma+ au anayetokwa na umajimaji+ asile vitu vitakatifu mpaka atakapokuwa safi,+ wala mtu anayemgusa mtu yeyote aliyejichafua kwa kugusa mtu aliyekufa,*+ wala mtu anayetokwa na shahawa,+
10 Ikiwa mwanamume ni mchafu kwa sababu ametokwa na shahawa usiku,+ anapaswa kwenda nje ya kambi, asirudi kambini. 11 Ifikapo jioni, anapaswa kuoga kwa maji, kisha anaweza kurudi kambini jua linapotua.+