Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 40:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Akaweka madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa+ kwenye mlango wa hema la ibada, yaani, hema la mkutano, ili atoe juu yake dhabihu za kuteketezwa+ na matoleo ya nafaka, kama Yehova alivyomwamuru Musa.

  • Mambo ya Walawi 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hakikisheni kwamba moto unaendelea kuwaka daima kwenye madhabahu. Haupaswi kuzimika.

  • Hesabu 16:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Kisha Musa akamwambia Haruni, “Chukua chetezo uweke moto ndani yake kutoka katika madhabahu+ na uweke uvumba juu yake, nawe uende haraka kwao na kuufukiza ili dhambi yao ifunikwe,+ kwa sababu Yehova amekasirika. Pigo limeanza!”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki