9 Kisha akasema: “Ikiwa sasa nimepata kibali machoni pako, Ee Yehova, sasa tafadhali, Yehova, nenda pamoja nasi uwe kati yetu,+ ingawa sisi ni watu wakaidi,*+ utusamehe makosa yetu na dhambi zetu,+ nawe utuchukue kuwa mali yako mwenyewe.”
19 Nitampa Haruni na wanawe Walawi hao wakiwa watu waliokabidhiwa kutoka miongoni mwa Waisraeli, ili watumikie katika hema la mkutano+ kwa niaba ya Waisraeli na kutoa dhabihu ya kufunika dhambi za Waisraeli, na ili Waisraeli wasipatwe na pigo lolote+ kwa sababu wao hukaribia mahali patakatifu.”