4 Kwa vurugu kama maji yenye msukosuko, hutafanikiwa, kwa sababu ulikipanda kitanda cha baba yako.+ Wakati huo ulikichafua* kitanda changu. Kwa kweli alikipanda kitanda changu!
11 Mwanamume anayefanya ngono na mke wa baba yake amemwaibisha baba yake.*+ Ni lazima wote wawili wauawe. Watakuwa na hatia kwa sababu ya vifo vyao wenyewe.*
21 Basi Ahithofeli akamwambia Absalomu: “Fanya ngono na masuria wa baba yako,+ aliowaacha waitunze nyumba.*+ Kisha Waisraeli wote watasikia kwamba umekuwa uvundo kwa baba yako, na wale wanaokuunga mkono watapata nguvu.”
5Kwa kweli kuna habari kwamba kuna uasherati*+ miongoni mwenu, tena uasherati* ambao haujatokea hata miongoni mwa mataifa—mwanamume kuishi* na mke wa baba yake.+