Mambo ya Walawi 18:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “‘Usifanye ngono na mke wa baba yako.+ Utamwaibisha baba yako.* Kumbukumbu la Torati 27:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “‘Amelaaniwa mtu anayefanya ngono na mke wa baba yake, kwa sababu amemwaibisha baba yake.’*+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’)
20 “‘Amelaaniwa mtu anayefanya ngono na mke wa baba yake, kwa sababu amemwaibisha baba yake.’*+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’)