Mwanzo 30:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lea akamwambia: “Unafikiri ni jambo dogo kumchukua mume wangu?+ Unataka pia kuchukua dudai za mwanangu?” Raheli akasema: “Ni sawa. Yakobo atalala nawe usiku wa leo ukinipa dudai za mwana wako.”
15 Lea akamwambia: “Unafikiri ni jambo dogo kumchukua mume wangu?+ Unataka pia kuchukua dudai za mwanangu?” Raheli akasema: “Ni sawa. Yakobo atalala nawe usiku wa leo ukinipa dudai za mwana wako.”