Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Usilitumie jina langu mimi, Yehova Mungu wako, kwa njia isiyofaa,+ kwa maana mimi, Yehova, sitakosa kumwadhibu yule anayelitumia jina langu kwa njia isiyofaa.+

  • Mathayo 5:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “Tena mlisikia kwamba zamani watu waliambiwa: ‘Usikose kutimiza kiapo chako,+ unapaswa kutimiza nadhiri zako kwa Yehova.’*+

  • Mathayo 5:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Acheni ‘Ndiyo’ yenu imaanishe ndiyo, na ‘Siyo’ yenu, siyo,+ kwa maana linalozidi hayo linatoka kwa yule mwovu.+

  • Yakobo 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Zaidi ya yote, akina ndugu, acheni kuapa kwa mbingu au kwa dunia au kwa kiapo kingine chochote. Bali acheni “Ndiyo” yenu iwe ndiyo, na “Siyo” yenu, siyo,+ ili msihukumiwe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki