7 “Usilitumie jina langu mimi, Yehova Mungu wako, kwa njia isiyofaa,+ kwa maana mimi, Yehova, sitakosa kumwadhibu yule anayelitumia jina langu kwa njia isiyofaa.+
12 Zaidi ya yote, akina ndugu, acheni kuapa kwa mbingu au kwa dunia au kwa kiapo kingine chochote. Bali acheni “Ndiyo” yenu iwe ndiyo, na “Siyo” yenu, siyo,+ ili msihukumiwe.