Zaburi 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ee Yehova, ni nani anayeweza kuwa mgeni katika hema lako? Ni nani anayeweza kukaa katika mlima wako mtakatifu?+ Zaburi 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hachongei kwa ulimi wake,+Hamtendei jirani yake jambo lolote ovu,+Naye hawaharibii sifa* rafiki zake.+
15 Ee Yehova, ni nani anayeweza kuwa mgeni katika hema lako? Ni nani anayeweza kukaa katika mlima wako mtakatifu?+
3 Hachongei kwa ulimi wake,+Hamtendei jirani yake jambo lolote ovu,+Naye hawaharibii sifa* rafiki zake.+