Methali 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Anayemdharau jirani yake anatenda dhambi,Lakini yeyote anayewahurumia watu wa hali ya chini ni mwenye furaha.+ Waroma 12:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Msimlipe yeyote uovu kwa uovu.+ Zingatieni mambo yaliyo mema kulingana na maoni ya* watu wote.
21 Anayemdharau jirani yake anatenda dhambi,Lakini yeyote anayewahurumia watu wa hali ya chini ni mwenye furaha.+