Waebrania 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kisiwe na unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati* na wazinzi.+ 1 Petro 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana wakati uliopita uliwatosha kufanya mapenzi ya mataifa,+ mlipofanya vitendo vya mwenendo mpotovu,* uchu, kunywa kupita kiasi, karamu zenye vurugu,* mashindano ya kunywa, na ibada za sanamu zenye kuchukiza.+
4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kisiwe na unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati* na wazinzi.+
3 Kwa maana wakati uliopita uliwatosha kufanya mapenzi ya mataifa,+ mlipofanya vitendo vya mwenendo mpotovu,* uchu, kunywa kupita kiasi, karamu zenye vurugu,* mashindano ya kunywa, na ibada za sanamu zenye kuchukiza.+