Mambo ya Walawi 18:12, 13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “‘Usifanye ngono na dada ya baba yako. Ana uhusiano wa damu na baba yako.+ 13 “‘Usifanye ngono na dada ya mama yako, kwa sababu ana uhusiano wa damu na mama yako.
12 “‘Usifanye ngono na dada ya baba yako. Ana uhusiano wa damu na baba yako.+ 13 “‘Usifanye ngono na dada ya mama yako, kwa sababu ana uhusiano wa damu na mama yako.