Mambo ya Walawi 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “‘Hupaswi kufanya ngono na dada ya mama yako au dada ya baba yako, kwa sababu kufanya hivyo ni kumwaibisha mtu wako wa ukoo uliye na uhusiano wa damu naye.+ Wanapaswa kuadhibiwa kwa sababu ya kosa lao.
19 “‘Hupaswi kufanya ngono na dada ya mama yako au dada ya baba yako, kwa sababu kufanya hivyo ni kumwaibisha mtu wako wa ukoo uliye na uhusiano wa damu naye.+ Wanapaswa kuadhibiwa kwa sababu ya kosa lao.