Mambo ya Walawi 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “‘Nao uchi wa dada ya mama yako+ na dada ya baba yako+ usiufunue, kwa sababu mtu atakuwa ameufunua uhusiano wake wa damu.+ Watajibu kwa kosa lao.
19 “‘Nao uchi wa dada ya mama yako+ na dada ya baba yako+ usiufunue, kwa sababu mtu atakuwa ameufunua uhusiano wake wa damu.+ Watajibu kwa kosa lao.