Mambo ya Walawi 18:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Usifanye ngono na mke wa ndugu yako,+ kwa sababu utamwaibisha ndugu yako.* Kumbukumbu la Torati 25:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Ikiwa ndugu wanaishi pamoja na mmoja wao afe bila mwana, mke wa yule aliyekufa hapaswi kuolewa na mwanamume mwingine nje ya ukoo huo. Ndugu ya mume wake anapaswa kwenda kwake, amchukue awe mke wake, na kufunga naye ndoa ya ndugu mkwe.+
5 “Ikiwa ndugu wanaishi pamoja na mmoja wao afe bila mwana, mke wa yule aliyekufa hapaswi kuolewa na mwanamume mwingine nje ya ukoo huo. Ndugu ya mume wake anapaswa kwenda kwake, amchukue awe mke wake, na kufunga naye ndoa ya ndugu mkwe.+