Mambo ya Walawi 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “‘Usikubali mtoto wako yeyote atolewe dhabihu kwa Moleki.+ Usilichafue jina la Mungu wako kwa njia hiyo.+ Mimi ni Yehova. Mambo ya Walawi 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Msiape kwa uwongo kwa jina langu+ na hivyo kulichafua jina la Mungu wenu. Mimi ni Yehova. Mambo ya Walawi 22:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Msilichafue jina langu takatifu,+ ni lazima nitakaswe miongoni mwa Waisraeli.+ Mimi ni Yehova, ninayewatakasa,+
21 “‘Usikubali mtoto wako yeyote atolewe dhabihu kwa Moleki.+ Usilichafue jina la Mungu wako kwa njia hiyo.+ Mimi ni Yehova.
32 Msilichafue jina langu takatifu,+ ni lazima nitakaswe miongoni mwa Waisraeli.+ Mimi ni Yehova, ninayewatakasa,+