Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Kwa hiyo ni lazima mshike masharti yangu yote na sheria zangu zote,* mnapaswa kuzifuata.+ Mimi ni Yehova.’”

  • Hesabu 15:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Upindo huo utawasaidia kukumbuka, nanyi mtashika amri zangu zote na kuwa watakatifu kwangu mimi Mungu wenu.+

  • Kumbukumbu la Torati 4:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Ni lazima mshike masharti yake na amri zake ninazowapa ninyi leo, ili mambo yawaendee vyema ninyi na wana wenu baada yenu, ili mwendelee kuishi kwa muda mrefu katika nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki