37 “‘Hizo ndizo sherehe za Yehova za majira+ mnazopaswa kutangaza kuwa makusanyiko matakatifu+ ya kumtolea Yehova dhabihu hizi zinazochomwa moto: dhabihu ya kuteketezwa+ pamoja na toleo lake la nafaka+ na matoleo ya vinywaji+ kulingana na ratiba ya kila siku.