Mambo ya Walawi 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ni lazima moto wa madhabahu uendelee kuwaka. Haupaswi kuzimika. Kila asubuhi kuhani ataongeza kuni+ kwenye moto huo na kupanga dhabihu ya kuteketezwa juu yake, naye atateketeza mafuta ya dhabihu za ushirika ili yafuke moshi.+
12 Ni lazima moto wa madhabahu uendelee kuwaka. Haupaswi kuzimika. Kila asubuhi kuhani ataongeza kuni+ kwenye moto huo na kupanga dhabihu ya kuteketezwa juu yake, naye atateketeza mafuta ya dhabihu za ushirika ili yafuke moshi.+